Skip to main content

Posts

Showing posts with the label teknolojia

tumia rain ya mtandao wowote kwenye mordem yako bila ku un lock

Habari yako msomaji wangu tuendelee kuhabarishana na kujuzana kuhusu haya mautundu na maujanja huku kwenye ulimwengu wa technology leo tuseme ku un-lock modem zetu leo ni mwisho kabisaaa sababu tunayo njia itakayotufanya tutumie line ya voda kwenye modem ya tigo au line yeyote kwenye modem yeyote bila hata kuifanyia un-lock fuata maelekezo haya utapata faida ya somo langu hili hatua za kufuata unachotakiwa ni kuwa na modem yeyote na line ya mtandao wowote unaotumika kwenye nchi uliyopo Download (pakua) nokia suite kwenye PC yako download hapa >>> http://nokia_pc_suite.en.downloadastro.com/download/ weka modem yako kwenye mashine yako funga software ya modem yako fungua program yako ya nokia pc kisha bofya sehemu iliyo andikwa "creat internet connection" itakuletea ujumbe huu "no device connected" bonyeza "sparner like icon" itakuonyesha modem yako bofya tena kwenye icon ili uweze kuset (kupanga) A

ijue libre office program mbadara ya microsoft office

Tumeshaandika kuhusiana na huduma za Microsoft Office, hasa kama unataka kutumia huduma hiyo bure kwa kutumia mtandao, kama ulipitwa soma  hapa.  Sasa kama unataka kutumia huduma za kuandika document au kuandaa kazinge kama hizo kwa njia zingine mbadala utafanyaje? Kaa ukijua huduma hizi mbadala zinasapoti huduma/mafaili yote ya  Microsoft Office, spreadsheet, na presentation kwa aslimia 100. Kwa kifupi ni kwamba utakua kama unatumia tuu huduma za microsoft office. Muonekano wa programu ya Office kwa njia ya mtandao Leo TeknoKona inakupa maujanja juu ya jinsi ya kutumia huduma hizo. LibreOffice ni ya bure kabisa, ina huduma zote zinazopatikana katika Microsoft office. Uzuri wake ni kwamba inaweza kutumiwa katika kompyuta ya aina yeyote kama vile Mac, Windows na Linux. Libre Office inakuja na mjumuhisho wa programu nyingine mbalimbali muhimu kama unazokutana nazo kwenye Microsoft Office Soma Zaidi Kuhusu Libre Office hapa –  Teknokona/libreoffice Apple iWork  nayo ni ya

WhatsApp kuzimwa katika simu hizi mwaka 2020

WhatsApp kuacha kufanya kazi katika mamilioni ya simu kuanzia mwaka 2020. Simu hizi ni matoleo ya nyuma ya simu zinazotumia Android, iOS na Windows Phone. WhatsApp kuacha kufanya kazi: Je simu yako itaendelea kuwa na sifa? Kampuni ya WhatsApp inayomilikiwa na Facebook imetoa taarifa ikisema inasikitika na uamuzi huu ila ni uamuzi wa kilazima kufanyika ili kuhakikisha wanaendelea kuwa na uwezo wa kuhakikisha watumiaji wake wanakuwa salama dhidi ya udukuzi ambao unaweza kufanywa kwenye matoleo ya nyuma ya programu endeshaji za simu. Kwa watumiaji wa simu zenye sifa zifuatazo wajiandae kuona app ya WhatsApp ikisumbua kufanya kazi ifikapo Februari 1 2020, kama simu zao zinauwezo wa kupokea matoleo mapya ya programu endeshaji basi wanashauriwa kufanya hivyo. Simu za iPhone 5 na 5S kutoka Apple zinaonekana kuwa ni baadhi maarufu ambazo zitaathirika kwa uamuzi huu. Bado zinatumika hasa kwa mataifa yanayoendelea. Tovuti ya DeviceAtlas ilisema kufikia mwaka huu simu za iPhone 5 n

Simu Janja Mpya Kutoka Infinix: Jua Sifa Za Infinix S5!

Hivi unalikumbuka tolea la S4 kutoka simu za Infinix?  Naam! Ni moja kati ya yale matoleo yanayotoka katika  ‘S Series’ . Hivi Sasa kampuni ya Infinix inakuletea toleo lingine linalojulikana kama Infinix S5. Simu hii imekuja sambamba na msimu wa sikukuu hivyo tegemea promoseni ambayo ina zawadi kedekede kutoka kwao Infinix Ijulikane kwamba kwa sasa Infinix S5 ndio kinara wa matoleo ya ‘S Series’ kutoka Infinix, simu janja hii ina vipengele vya kuvutia kama vile ‘ Infinity-O Display’  na  Megapixel (MP) 32  katika kamera yake ya selfi . “Infinix ikiwa ni kampuni yenye ushawishi mkubwa katika mfumo wa kidigitali tunawahakikishia wateja wetu bidhaa zenye teknolojia ya hali ya juu kwa bei Rafiki”- alisema afisa mahusiano Infinix, Aisha Kurupa Timu Ya Infinix Ikiwa Kazini SIFA ZAKE KWA UFUPI Kamera ya selfi ambayo ina MP 32 Kamera nne za nyuma ambazo ni 16MP+5MP+2MP+AI Lens vile vile zikiwa na teknolojia ya Artificial Inteligency (AI) Memori ya uhifadhi wa ndani ni Gb 64 na

Google wameanza kusambaza teknolojia mpya ya SMS

Google wameanza kusambaza teknolojia mpya ya SMS yenye lengo la kuwa ndio teknolojia ya kuacha na ile iliyozoeleka kwa miaka mingi katika huduma ya ujumbe mfupi (sms). Katika kipindi cha zaidi ya mwaka na nusu kampuni ya Google imekuwa ikifanya mazungumzo na makampuni ya mitandao ya simu nchini Marekani juu ya uamuzi wake wa kutaka teknolojia mpya ya RCS iwe ndio teknolojia inayotumika kwa huduma za SMS. Ila imeonakana mitandao ya simu imekuwa kikwazo katika suala la kufanya maamuzi. Teknolojia ya SMS ya RCS ipoje? Teknolojia hii inawezesha app ya kawaida katika simu za Android kuweza kuwa na uwezo wa; Taarifa za ujumbe kuwa umesomwa au hapana Uwezo wa kujua kama mwingine anaandika muda huo Uwezo wa kuwa na makundi kwa urahisi (Groups) Google walikuwa na lengo la kuifanya teknolojia hii mpya ya SMS iwe ndio inayotumika kwa muda mrefu tuu. Katika mpango wao wa mwanzo walilenga kuhusisha mitandao ya simu katika utengekelezaji h Ila kutokana na hali ya kutopata ushirik

Je, waweza kulipia kila herufi kupiga soga mtandaoni?

Haki miliki ya picha EXPENSIVE CHAT Je, kwa wewe mtumiaji wa simu ya mkononi na mitandao ya kijamii, umeshawahi kuwaza idadi ya herufi unazoandika katika mawasiliano kwa jamaa na marafiki zako au kutoa maoni au mawazo yako mitandaoni kuwa ipo siku huenda usimudu gharama yake?. Marc Kohlbrugge mjasiliamali wa mitandaoni ameanzisha ukurasa wa kupigia soga maarufu kama 'chat room', ambapo gharama yake kwa kuandika herufi moja ni kiasi cha dola 0.01 sawa na shilingi 23 za kitanzania kwa herufi moja. Marc amesema kuwa alianzisha ukurasa huo kama majaribio yake mtandaoni, lakini amesema mwitikio wake umekuwa mkubwa kwani hadi sasa ana watu 100 ambapo hadi sasa wamekwisha mlipa kiasi cha dola 335 sawa na shilingi 785,000 za kitanzania, kwa herufi 33,0500 ambazo wamekwisha zilipia. Suala la kupiga soga lilivyo zoeleka kwa sasa katika nchini za Afrika, Afrika Mashariki ikiwemo, sidhani kama kuna mtu anayeweza kumudu gharama,maana wapo watu ambao,tangu asubuhi hadi jioni kwa ucha

Roboti iliyopewa uraia nchini Saudi Arabia imesema kuwa ina haki ya kuwa na familia

Roboti iliyopewa uraia nchini Saudi Arabia imesema kuwa ina haki ya kuwa na familia. Roboti hiyo kwa jina la Sophia  ilitengenezwa nchini Hong Kong na kupewa uraia nchini Saudi Arabia mwezi uliopita. Roboti hiyo İimesema kuwa ingependa kuwa na familia wakati ilipohudhuria mkutano wa habari ulioandaliwa nchini UAE. Kwa mujibu wa habari roboti hiyo imesema kuwa familia ni kitu muhimu sana. Robot hiyo imesema kuwa kila mwanadamu ana haki ya kuwa na familia na watu wenye hisia sawa na yeye.Jambo hilo ni muhimu sana hata kwa roboti.Aliwaambia wanadamu wajisikie furaha kuwa na familia.

KUWA WA KWANZA KUJIINGIZIA KIPATO KUPITIA SIMU YAKO BILA YA INTERNET

ndugu kupitia simu yako au komputa yako sasa waweza kujiweka katika hali nzuri ya kimaisha badala ya kuwanufaisha wengine pale unapotumia internet kwa garama zako sasa waweza kujikomboa bonyeza hapa>>>>>>http://vexaredrqjfi.bid/6761284465935/ kwa maelzo zaidi jinsi ya kujiunga hii ni mpya sasa

Jinsi ya ku-track simu yako na kujua mahali ilipo

Upotevu wa simu yako ni moja ya jambo baya watu wanalipata.Unaweza kuibiwa simu yako iliyokuwa imehifadhi data nyingi binafsi. Kwa msaada jinsi ya kupata simu yako iliyopotea, Google na Apple kwa pamoja wana njia za kufuatilia hili kutafuta mfumo wa simu yako. Jinsi ya kutafuta iPhone iliyopotea Ufumbuzi wake upo kwenye Find My iPhone.Huduma hii ina uwezo wa kukuonyesha kifaa chako chochote cha iOS Kupata uwezo juu ya iPhone yako,fuata hatua hizi; 1.Nenda kwenye setting/mpangilio wa iPhone yako 2.Shuka chini utakuta iCloud 3.Katika chini ya orodha bonyeza "Find My iPhone" 4.Kwenye Find My Phone switch on position 5.Ukiwa hapo ni wazo zuri ku-turn on send last  location Baada ya kuwezesha Find My iPhone,unaweza kuifuatilia vizuri simu yako iliyopotea na kuibiwa Jinsi ya kupata Android phone Kwa android ni tofauti kidogo na Apple.Google wameweka app yao kwenye Play store  na unaweza ku-download 1.Search Play Store "Android Device Manager" 2.Inst

Tumia simu yako kama mounse ya komputa

New Trick Habari za wakati huu msomaji wa Blog yako pendwa ya  DODY BLOG ! Katika mfululizo wa makala za wiki hii, leo tutaangalia jinsi ya  KUTUMIA   simu yako hio ya  SmartPhone kama  Mouse  ya kompyuta. FAIDA >>>Hii inaweza kukusaidia pale ambapo hauna Mouse kwa ajili ya compyuta yako, au  TouchPad  ya Laptop yako haifanyi kazi! Yani  inasumbua! MAHITAJI >> Utahitajika kuinstall program na App ntakazokupa hapa chini! Unaweza kutumia Apps mbalimbali na step ni hizihizi.  Host file utaiinstall kwenye kompyuta yako na App utaiweka kwenye simu yako, halafu utaunga compyuta yako kwenye wireless ya simu yako au bluetooth!  (Lengo la kuunga ni kuweka mawasiliano kati ya simu na kompyuta). kwa hio unaweza kutumia  Bluetooth au Wireless!  Zote ni sawa ila hapa nitaelezea Wireless. HATUA KWA HATUA 1.   Download na install  Monect  kwenye simu yako  HAPA! Install Monect Portable 2. Kwenye PC yako download na install  Monect Host  kwa kuclik  HAPA