Skip to main content

Jinsi ya ku-track simu yako na kujua mahali ilipo



Upotevu wa simu yako ni moja ya jambo baya watu wanalipata.Unaweza kuibiwa simu yako iliyokuwa imehifadhi data nyingi binafsi.
Kwa msaada jinsi ya kupata simu yako iliyopotea, Google na Apple kwa pamoja wana njia za kufuatilia hili kutafuta mfumo wa simu yako.

Jinsi ya kutafuta iPhone iliyopotea
Ufumbuzi wake upo kwenye Find My iPhone.Huduma hii ina uwezo wa kukuonyesha kifaa chako chochote cha iOS

Kupata uwezo juu ya iPhone yako,fuata hatua hizi;
1.Nenda kwenye setting/mpangilio wa iPhone yako
2.Shuka chini utakuta iCloud
3.Katika chini ya orodha bonyeza "Find My iPhone"
4.Kwenye Find My Phone switch on position
5.Ukiwa hapo ni wazo zuri ku-turn on send last  location
Baada ya kuwezesha Find My iPhone,unaweza kuifuatilia vizuri simu yako iliyopotea na kuibiwa

Jinsi ya kupata Android phone
Kwa android ni tofauti kidogo na Apple.Google wameweka app yao kwenye Play store  na unaweza ku-download

1.Search Play Store "Android Device Manager"
2.Install the app, na sign in kwenye account yako ya Google
3.Kuwa makini kuondoka kwenye checkbox. Ukiondoka usiache box checked,mtu yeyote anaweza kupata kifaa chako na kuzuia uwezo wa ku-track simu yako.
Kama umepoteza simu yako unaweza kufuatilia simu yako kwa kutumia simu nyingine au tembelea Google Android website.

Kama unatumia simu tofauti na hizo hapo juu, unaweza kupata simu yako iliyopotea kwa kufuata maelekezo yafuatayo.
Kama unatumia windows phone tafuta maelekezo hapa.
Kama unatumia BlackBerry 10, tack simu yako ya kutumia BlackBerry Project.

Comments

Popular posts from this blog

DOWNLOAD; nyimbo mpya ya alikiba #JOHOTENA

Tumia simu yako kama mounse ya komputa

New Trick Habari za wakati huu msomaji wa Blog yako pendwa ya  DODY BLOG ! Katika mfululizo wa makala za wiki hii, leo tutaangalia jinsi ya  KUTUMIA   simu yako hio ya  SmartPhone kama  Mouse  ya kompyuta. FAIDA >>>Hii inaweza kukusaidia pale ambapo hauna Mouse kwa ajili ya compyuta yako, au  TouchPad  ya Laptop yako haifanyi kazi! Yani  inasumbua! MAHITAJI >> Utahitajika kuinstall program na App ntakazokupa hapa chini! Unaweza kutumia Apps mbalimbali na step ni hizihizi.  Host file utaiinstall kwenye kompyuta yako na App utaiweka kwenye simu yako, halafu utaunga compyuta yako kwenye wireless ya simu yako au bluetooth!  (Lengo la kuunga ni kuweka mawasiliano kati ya simu na kompyuta). kwa hio unaweza kutumia  Bluetooth au Wireless!  Zote ni sawa ila hapa nitaelezea Wireless. HATUA KWA HATUA 1.   Download na install  Monect  kwenye simu yako  HAPA! Install Monect Portable 2. Kwenye PC yako download na install  Monect Host  kwa kuclik  HAPA