Skip to main content

TETESI ZA USAJILI ULAYA MAHREZ KWENDA MAN U

Bado masaa yasiyozidi 40 ili dirisha la usajili barani Ulaya kufungwa, kila timu inajaribu kupata sahihi ya mtu sahihi kwa ajili ya msimu huu wa ligi na matumizi makubwa ya pesa yanafanya muda huu uliobaki kuwa wa kuvutia.


Image result for mahrez and pogba


Thomas Lemar ambaye alikuwa anatajwa kuelekea Anfield kukipiga na klabu ya Liverpool inaonekana Barca wameingilia kati usajili huo na sasa wanataka kumnunua Lemar, taarifa zinadai Barca wanapambana kuipiku Liverpool ndani ya usiku wa leo au kesho.
Oxlade Chamberlain naye amekuwa akizungumziwa sana hii leo, Chamberlain alikuwa akihusishwa kuelekea Stamford Bridge na inasemekana Chelsea walishakubali kutoa £35m ili kumnunua lakini leo habari mpya zinadai Chamberlain amekataa kujiunga na Chelsea na anataka aende Liverpool.
Angel Di Maria anaweza kurudi tena katika ligi kuu ya Hispania La Liga, lakini kubwa zaidi ni kwamba safari hii Di Maria anarudi Hispania ambako anatakwa na wapinzani wakubwa wa timu yake ya zamani Real Madrid ambao ni Barcelona, taarifa zinasema Di Maria amemuomba kocha Unai Emery kumruhusu aende Hispania.
Inaonekana pamoja na matatizo yote yaliyotokea kipindi hiki cha usajili lakini Ross Barkley anabaki Everton, klabu hiyo imeitolea nje Chelsea ambao walionesha nia ya kumtaka lakini Everton wameikataa ofa yao ya £25m.
Jose Mourinho baada ya kumkosa Ivan Perisic anaonekana kuvutiwa na kumnunua Ryad Mahrez toka Leicester City, lakini mabosi wa Manchester United hawapendezwi na usajili wa Mahrez na hawako tayari kutoa kiasi cha pesa kwa Mualgeria huyo.

Comments

Popular posts from this blog

DOWNLOAD; nyimbo mpya ya alikiba #JOHOTENA

Jinsi ya ku-track simu yako na kujua mahali ilipo

Upotevu wa simu yako ni moja ya jambo baya watu wanalipata.Unaweza kuibiwa simu yako iliyokuwa imehifadhi data nyingi binafsi. Kwa msaada jinsi ya kupata simu yako iliyopotea, Google na Apple kwa pamoja wana njia za kufuatilia hili kutafuta mfumo wa simu yako. Jinsi ya kutafuta iPhone iliyopotea Ufumbuzi wake upo kwenye Find My iPhone.Huduma hii ina uwezo wa kukuonyesha kifaa chako chochote cha iOS Kupata uwezo juu ya iPhone yako,fuata hatua hizi; 1.Nenda kwenye setting/mpangilio wa iPhone yako 2.Shuka chini utakuta iCloud 3.Katika chini ya orodha bonyeza "Find My iPhone" 4.Kwenye Find My Phone switch on position 5.Ukiwa hapo ni wazo zuri ku-turn on send last  location Baada ya kuwezesha Find My iPhone,unaweza kuifuatilia vizuri simu yako iliyopotea na kuibiwa Jinsi ya kupata Android phone Kwa android ni tofauti kidogo na Apple.Google wameweka app yao kwenye Play store  na unaweza ku-download 1.Search Play Store "Android Device Manager" 2.Inst

Tumia simu yako kama mounse ya komputa

New Trick Habari za wakati huu msomaji wa Blog yako pendwa ya  DODY BLOG ! Katika mfululizo wa makala za wiki hii, leo tutaangalia jinsi ya  KUTUMIA   simu yako hio ya  SmartPhone kama  Mouse  ya kompyuta. FAIDA >>>Hii inaweza kukusaidia pale ambapo hauna Mouse kwa ajili ya compyuta yako, au  TouchPad  ya Laptop yako haifanyi kazi! Yani  inasumbua! MAHITAJI >> Utahitajika kuinstall program na App ntakazokupa hapa chini! Unaweza kutumia Apps mbalimbali na step ni hizihizi.  Host file utaiinstall kwenye kompyuta yako na App utaiweka kwenye simu yako, halafu utaunga compyuta yako kwenye wireless ya simu yako au bluetooth!  (Lengo la kuunga ni kuweka mawasiliano kati ya simu na kompyuta). kwa hio unaweza kutumia  Bluetooth au Wireless!  Zote ni sawa ila hapa nitaelezea Wireless. HATUA KWA HATUA 1.   Download na install  Monect  kwenye simu yako  HAPA! Install Monect Portable 2. Kwenye PC yako download na install  Monect Host  kwa kuclik  HAPA