Skip to main content

Posts

Showing posts with the label Mautundu

PATA NAMBA YAKO YA NIDA ONLINE NIRAHISI SANA

  Download Your NIDA Number and Copy Online  Download Your National ID (NIDA), Nida Number,Namba ya NIDA,Download Your NIDA number | Copy Online, National ID (NIDA) – Kitambulisho cha Taifa,NIDA number online,NIDA Tanzania Download, NIDA form,NIDA Tanzania 2022/2023 Download Your NIDA number | Copy Online | National ID (NIDA) – Kitambulisho cha Taifa Many Tanzanians have been struggling to find NIDA numbers, NIDA numbers have been a challenge almost every time a Tanzanian citizen needs government or even government services Initially the initial procedure was a bit difficult for people to get NIDA number easily but now the Government of Tanzania has made things easier as you can get your NIDA number online, Read all the procedures on how to Get your NIDA number belo w Download Your National ID (NIDA)  2022 Download NIDA Number Kitambulisho ,  Many people have been wondering how to get NIDA numbers, Tanzania National Identity Card, Here is a very simple way that you can get National Ide

Je, waweza kulipia kila herufi kupiga soga mtandaoni?

Haki miliki ya picha EXPENSIVE CHAT Je, kwa wewe mtumiaji wa simu ya mkononi na mitandao ya kijamii, umeshawahi kuwaza idadi ya herufi unazoandika katika mawasiliano kwa jamaa na marafiki zako au kutoa maoni au mawazo yako mitandaoni kuwa ipo siku huenda usimudu gharama yake?. Marc Kohlbrugge mjasiliamali wa mitandaoni ameanzisha ukurasa wa kupigia soga maarufu kama 'chat room', ambapo gharama yake kwa kuandika herufi moja ni kiasi cha dola 0.01 sawa na shilingi 23 za kitanzania kwa herufi moja. Marc amesema kuwa alianzisha ukurasa huo kama majaribio yake mtandaoni, lakini amesema mwitikio wake umekuwa mkubwa kwani hadi sasa ana watu 100 ambapo hadi sasa wamekwisha mlipa kiasi cha dola 335 sawa na shilingi 785,000 za kitanzania, kwa herufi 33,0500 ambazo wamekwisha zilipia. Suala la kupiga soga lilivyo zoeleka kwa sasa katika nchini za Afrika, Afrika Mashariki ikiwemo, sidhani kama kuna mtu anayeweza kumudu gharama,maana wapo watu ambao,tangu asubuhi hadi jioni kwa ucha

KUWA WA KWANZA KUJIINGIZIA KIPATO KUPITIA SIMU YAKO BILA YA INTERNET

ndugu kupitia simu yako au komputa yako sasa waweza kujiweka katika hali nzuri ya kimaisha badala ya kuwanufaisha wengine pale unapotumia internet kwa garama zako sasa waweza kujikomboa bonyeza hapa>>>>>>http://vexaredrqjfi.bid/6761284465935/ kwa maelzo zaidi jinsi ya kujiunga hii ni mpya sasa

Jinsi ya ku-track simu yako na kujua mahali ilipo

Upotevu wa simu yako ni moja ya jambo baya watu wanalipata.Unaweza kuibiwa simu yako iliyokuwa imehifadhi data nyingi binafsi. Kwa msaada jinsi ya kupata simu yako iliyopotea, Google na Apple kwa pamoja wana njia za kufuatilia hili kutafuta mfumo wa simu yako. Jinsi ya kutafuta iPhone iliyopotea Ufumbuzi wake upo kwenye Find My iPhone.Huduma hii ina uwezo wa kukuonyesha kifaa chako chochote cha iOS Kupata uwezo juu ya iPhone yako,fuata hatua hizi; 1.Nenda kwenye setting/mpangilio wa iPhone yako 2.Shuka chini utakuta iCloud 3.Katika chini ya orodha bonyeza "Find My iPhone" 4.Kwenye Find My Phone switch on position 5.Ukiwa hapo ni wazo zuri ku-turn on send last  location Baada ya kuwezesha Find My iPhone,unaweza kuifuatilia vizuri simu yako iliyopotea na kuibiwa Jinsi ya kupata Android phone Kwa android ni tofauti kidogo na Apple.Google wameweka app yao kwenye Play store  na unaweza ku-download 1.Search Play Store "Android Device Manager" 2.Inst

Tumia simu yako kama mounse ya komputa

New Trick Habari za wakati huu msomaji wa Blog yako pendwa ya  DODY BLOG ! Katika mfululizo wa makala za wiki hii, leo tutaangalia jinsi ya  KUTUMIA   simu yako hio ya  SmartPhone kama  Mouse  ya kompyuta. FAIDA >>>Hii inaweza kukusaidia pale ambapo hauna Mouse kwa ajili ya compyuta yako, au  TouchPad  ya Laptop yako haifanyi kazi! Yani  inasumbua! MAHITAJI >> Utahitajika kuinstall program na App ntakazokupa hapa chini! Unaweza kutumia Apps mbalimbali na step ni hizihizi.  Host file utaiinstall kwenye kompyuta yako na App utaiweka kwenye simu yako, halafu utaunga compyuta yako kwenye wireless ya simu yako au bluetooth!  (Lengo la kuunga ni kuweka mawasiliano kati ya simu na kompyuta). kwa hio unaweza kutumia  Bluetooth au Wireless!  Zote ni sawa ila hapa nitaelezea Wireless. HATUA KWA HATUA 1.   Download na install  Monect  kwenye simu yako  HAPA! Install Monect Portable 2. Kwenye PC yako download na install  Monect Host  kwa kuclik  HAPA

Pata matangazo kwa ajili ya blog yako

Hii ni kampuni inayokuwezesha kutangaza ads kwenye blog yako na pia kwa maadvertiser wana uwezo wa kuingia mkataba nao na kuanza kutangaza biashara zao mbalimbali. Kama bado mmiliki wa blog ujajiunga bado ujachelewa jiunge sasa na ufurahie malipo mazuri kutoka kwenye hii kampuni. Inalipa kutokana na impression na clicks kwenye ads ambazo zitakuwa kwenye blog yako. Kujiunga ingia seebait.com na ufuate maelekezo kama ifuatavyo 1.ingia seebait.com 2. scroll down hadi ukiona publisher 3. shuka chini hadi utakapoona signup/login here 4.click hapo 5.itakuletea option za kusign up sign up kwa kutumia gmail account yako na ufuate maelekezo ya kujiunga 6. kwa advertiser shuka chini hadi utakpoona neno advertise baada ya kufungua seebait.com hapo utajiunga na kufurahia huduma nzuri za matangazo KUMBUKA WEBSITE HII INA MASHARTI NA VIGEZO VYAKE INGIA HAPA KABLA NHUJAJIUNGA https://seebait.com/publisher/terms-and-conditions KAMA UNA SWALI COMMENT CHINI