Skip to main content

Pata matangazo kwa ajili ya blog yako

Hii ni kampuni inayokuwezesha kutangaza ads kwenye blog yako na pia kwa maadvertiser wana uwezo wa kuingia mkataba nao na kuanza kutangaza biashara zao mbalimbali. Kama bado mmiliki wa blog ujajiunga bado ujachelewa jiunge sasa na ufurahie malipo mazuri kutoka kwenye hii kampuni.
bg

Inalipa kutokana na impression na clicks kwenye ads ambazo zitakuwa kwenye blog yako. Kujiunga ingia seebait.com na ufuate maelekezo kama ifuatavyo

1.ingia seebait.com
2. scroll down hadi ukiona publisher
3. shuka chini hadi utakapoona signup/login here
4.click hapo
5.itakuletea option za kusign up sign up kwa kutumia gmail account yako na ufuate maelekezo ya kujiunga
6. kwa advertiser shuka chini hadi utakpoona neno advertise baada ya kufungua seebait.com hapo utajiunga na kufurahia huduma nzuri za matangazo

KUMBUKA WEBSITE HII INA MASHARTI NA VIGEZO VYAKE INGIA HAPA KABLA NHUJAJIUNGA
https://seebait.com/publisher/terms-and-conditions

KAMA UNA SWALI COMMENT CHINI

Comments

Popular posts from this blog

DOWNLOAD; nyimbo mpya ya alikiba #JOHOTENA

Jinsi ya ku-track simu yako na kujua mahali ilipo

Upotevu wa simu yako ni moja ya jambo baya watu wanalipata.Unaweza kuibiwa simu yako iliyokuwa imehifadhi data nyingi binafsi. Kwa msaada jinsi ya kupata simu yako iliyopotea, Google na Apple kwa pamoja wana njia za kufuatilia hili kutafuta mfumo wa simu yako. Jinsi ya kutafuta iPhone iliyopotea Ufumbuzi wake upo kwenye Find My iPhone.Huduma hii ina uwezo wa kukuonyesha kifaa chako chochote cha iOS Kupata uwezo juu ya iPhone yako,fuata hatua hizi; 1.Nenda kwenye setting/mpangilio wa iPhone yako 2.Shuka chini utakuta iCloud 3.Katika chini ya orodha bonyeza "Find My iPhone" 4.Kwenye Find My Phone switch on position 5.Ukiwa hapo ni wazo zuri ku-turn on send last  location Baada ya kuwezesha Find My iPhone,unaweza kuifuatilia vizuri simu yako iliyopotea na kuibiwa Jinsi ya kupata Android phone Kwa android ni tofauti kidogo na Apple.Google wameweka app yao kwenye Play store  na unaweza ku-download 1.Search Play Store "Android Device Manager" 2.Inst

Tumia simu yako kama mounse ya komputa

New Trick Habari za wakati huu msomaji wa Blog yako pendwa ya  DODY BLOG ! Katika mfululizo wa makala za wiki hii, leo tutaangalia jinsi ya  KUTUMIA   simu yako hio ya  SmartPhone kama  Mouse  ya kompyuta. FAIDA >>>Hii inaweza kukusaidia pale ambapo hauna Mouse kwa ajili ya compyuta yako, au  TouchPad  ya Laptop yako haifanyi kazi! Yani  inasumbua! MAHITAJI >> Utahitajika kuinstall program na App ntakazokupa hapa chini! Unaweza kutumia Apps mbalimbali na step ni hizihizi.  Host file utaiinstall kwenye kompyuta yako na App utaiweka kwenye simu yako, halafu utaunga compyuta yako kwenye wireless ya simu yako au bluetooth!  (Lengo la kuunga ni kuweka mawasiliano kati ya simu na kompyuta). kwa hio unaweza kutumia  Bluetooth au Wireless!  Zote ni sawa ila hapa nitaelezea Wireless. HATUA KWA HATUA 1.   Download na install  Monect  kwenye simu yako  HAPA! Install Monect Portable 2. Kwenye PC yako download na install  Monect Host  kwa kuclik  HAPA