Ticker

6/recent/ticker-posts

tumia rain ya mtandao wowote kwenye mordem yako bila ku un lock

Habari yako msomaji wangu tuendelee kuhabarishana na kujuzana kuhusu haya mautundu na maujanja huku kwenye ulimwengu wa technology leo tuseme ku un-lock modem zetu leo ni mwisho kabisaaa sababu tunayo njia itakayotufanya tutumie line ya voda kwenye modem ya tigo au line yeyote kwenye modem yeyote bila hata kuifanyia un-lock fuata maelekezo haya utapata faida ya somo langu hili

hatua za
kufuata

  • unachotakiwa ni kuwa na modem yeyote na line ya mtandao wowote unaotumika kwenye nchi uliyopo


  • weka modem yako kwenye mashine yako

  • funga software ya modem yako

  • fungua program yako ya nokia pc

  • kisha bofya sehemu iliyo andikwa "creat internet connection" itakuletea ujumbe huu "no device connected"

  • bonyeza "sparner like icon" itakuonyesha modem yako

  • bofya tena kwenye icon ili uweze kuset (kupanga) APN za internet kama unavyopanga kwenye simu yako

  • bofya conect

  • itaunganisha na kukuonyesha kasi ya internet yako
Mpaka hapo endelea kuenjoy kwa kutumia modem yako bila kuiflash kama hujaelewa sehemu yeyote weka coment yako hapo chini ili niendelee kukusaidia

Post a Comment

0 Comments