Skip to main content

Posts

Showing posts from March, 2017

MWAKYEMBE; ALIKIBA NA DIAMOND KWANGU WATAKAA PAMOJA

wazili wa sanaa utamaduni habari na michezo mwakyembe amewaomba watanzania kushikamana kwa pamoja katika kukuza sanaa na michezo nchini ikiwemo kuichangia timu ya vijana serengeti boys waziri mwakyembe ameipongeza kamati ya maandalizi iliyoteuliwa na aliyekuwa waziri wa wizara hiyo mh Nape Nauye, akamati hiyo inaundwa na wasanii wenye upinzani katika musiki, Alikiba na Diamond pamoja na watu wengine waliochaguliwa                                                 tazama hapa

KIINGILIO CHASHUSHWA KUIONA TAIFA STARS ZIDI YA BOTSWANA WIKI HII

Taifa Stars – timu ya Tanzania ya mpira wa miguu kwa mwaka 2017 inaingia uwanjani kucheza na Botswana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mechi ya kirafiki ya kimataifa katika wiki ya kalenda ya FIFA. Kwa umuhimu wa mchezo huo na hamasa ambayo uongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania umeona hivyo TFF imeatangaza kushusha bei ya kiingilio kwa watu watakaokaa mzunguko kutoka Sh 5,000 hadi Sh. 3,000. “Wavutieni Watanzania wakaishangilie timu yao, wekeni viingilio vya bei ya chini ambayo Mtanzania itamweka katika mazingira ya kuchangia gharama kidogo kwa timu. Toeni hiyo Sh 5,000 yenu. Wekeni angalau Sh. 3,000,” ameagiza Rais wa TFF, Jamal Malinzi. Pamoja na punguzo hilo kwa mashabiki wa mpira wa miguu watakaoketi Majukwaa Maalumu – VIP “A” watalipia Sh 15,000 na wale watakaoketi VIP “B” na “C” watalipia Sh 10,000. Kocha Mkuu wa timu hiyo, Salum Mayanga kwa upande wake aliwathibitishia Waandishi wa Habari kwamba kikosi chake kiko imara kwa ajili ya mchezo huo utakaofanyika

DHAMANI YA KIATU ANACHOVAA SAMATA

TUMEKUWA tukiona kwa wenzetu barani Ulaya kwa wachezaji wenyewe majina makubwa kama Cristiano Ronaldo, Lionel Messi wakivaa viatu vya mpira venye thamani ya juu zaidi duniani, tukiangalia kwa hapa Tanzania tunae mshambuliaji wa kimataifa Mbwana Ally Samatta ambae ana vaa kiatu chenye gharama ya dola 800 za Marekani zaidi ya Tsh. 1,760,000 (milioni moja laki saba na elfu sitini). Mshambuliaji huyo anasakata kambumbu katika klabu ya KRC Genk ya Ubegiji amekuwa na msimu mzuri katika ligi kuu ya nchi hiyo huku akiisaidia timu yake kufuzu katika hatua ya robo fainali ya michuano ya Europa League. Shaffihdauda.co.tz. ilipiga stori na Mbwana Samatta ambae kwa sasa yupo nchi Tanzania katika kuitumikia timu ya Taifa (Taifa Stars) katika mechi mbili za kimataifa zinazowakabili alisema, unapokuwa mchezaji mkubwa na unatazamwa na kila mtu ni lazima uwe wa tofauti katika maisha ili uwe mfano wa kuigwa kwa hawa chipukizi wanaochipukia kwasasa. “Siyo vibaya mimi kuvaa viatu vya gharama vya kuchezea m

BEFFTA AWARD YA LONDON WASIFU MASHABIKI WA ALIKIBA

Wandaaji na watayarishaji wa tuzo huko nchini uingereza wametoa pongezi kwamashabiki wa alikiba #kingkiba kwa kuonyesha mapenzi yakweli kwa staa wao, kupitia mtandao wao wa instagram wameandika maneno yakuwapongeza mashabiki hao ambao huonyesha ushilikiano katika upigaji kura, hili ni jambo la kujivunia kwa mashabiki hao lakini wanapaswa kuongeza juhudi katika utazamaji wa video za msanii wao huko YouTube na vevo

ALICHOPOST REGNALD MENGI TWITTER

Jamii yoyote ile haiwezi kujikomboa kutoka kwenye umasikini wa kipato bila kwanza kujinasua kutoka kwenye umasikini wa fikra. — Reginald Mengi (@regmengi)         Reginald Mengi ‏ Verified account   @regmengi  Follow More Jamii yoyote ile haiwezi kujikomboa kutoka kwenye umasikini wa kipato bila kwanza kujinasua kutoka kwenye umasikini wa fikra.

UJERUMANI YAIADHIBU ENGLAND

Timu ya taifa ya England imekubali kichapo cha bao 1-0 ugenini dhidi ya timu ya taifa ya Ujerumani katika mchezo wa kirafiki. Bao pekee la ushindi katika mchezo huo liliwekwa kambani na mshambuliaji Lukas Podolski katika dakika ya 69 ya mchezo kwa shuti kali la umbali wa mita 25 lilomshinda kipa wa England Joe Hart. Mchezo huu wa kirafiki ulikua ni mchezo wa mwisho kwa mshambuliaji huyu wa timu ya taifa ya Ujerumani Lukas Podolski anayestaafu soka la kimataifa akiwa na umri wamiaka 31. Mshambulia huyu alianza kuichezea timu ya taifa ya wakubwa mwaka 2004 na kufunga jumla ya magoli 49 katika michezo 130.

WENGER ZUNGUMZIA MKATABA WAKE

Meneja wa Arsenal Arsene Wenger amesema klabu hiyo imesitisha kwa muda mazungumzo kuhusu mikataba ya Alexis Sanchez na Mesut Ozil hadi mwisho wa msimu. Mshambuliaji wa Chile Sanchez na kiungo wa kati wa Ujerumani Ozil, wote wenye umri wa miaka 28, wamesalia na chini ya miaka miwili kwenye mikataba yao. Wenger amesema tayari amefanya uamuzi wake kuhusu mustakabali wake Arsenal, lakini bado hajatia saini mkataba wa miaka miwili aliopewa na klabu hiyo. "Kwa sasa hatujaafikiana," Wenger alisema kumhusu Sanchez. Akiongea na BeIn Sports, Mfaransa huyo wa umri wa miaka 67 alisema: "Tumeamua kuangazia mwisho wa msimu na tuandae mazungumzo majira ya joto. "Hali ni sawa kwa Ozil, kwa sababu unapokosa kupata makubaliano na mashauriano bado yanaendelea, hilo si jambo jema. "Ni vyema kuketi na kuiangazia majira ya joto." Haki miliki ya picha REX FEATURES Arsenal wameshuka hadi nambari sita Ligi ya Premia baada ya kushindwa mechi nne kati ya tano walizocheza karibuni za

AKOSA HUDUMA KATIKA MGAHAWA KISA NI MUISLAM

Kanda ya video mjini Paris ilioonyesha mkahawa mmoja ukikataa kuwahudumia wanawake wawili Waislamu imezua hisia kali nchini Ufaransa. Katika kanda hiyo,iliosambazwa sana katika mitandao ya kijamii ,mwanamume anamwambia mwanamke aliyevaa Hijab :''Magaidi ni Waislamu na Waislamu wote ni Magaidi''. Kisa hicho kilitokea katika mkahawa wa Le Cenacle,Tremblay-en-France siku ya Jumamosi usiku. Siku ya Jumapili,mtu huyo aliomba msamaha kwa kundi lililokongamana nje ya mkahawa huo. Image caption Waandamana kupinga hatua ya mkahawa mmoja kukataa kuwahudumia wanawake Waislamu Ufaransa Anasema kuwa alijisahau na kutoa matamshi hayo kutokana na mjadala unaoendelea nchini humo kuhusu vazi la Burkini katika fukwe za bahari za Ufaransa,na kwamba ana rafikiye aliyefariki katika shambulio la mjini Paris katika eneo la Bataclan mnamo mwezi Novemba.

MTU MMOJA AFANYA SHAMBULIZI UINGEREZA

Mtu ambaye polisi wanaamini alihusika na shambulio la kigaidi katika eneo la Westminister ametambuliwa rasmi kuwa Khalid Masood, kulingana na wapelelezi wa Scotland Yard. Masood mwenye umri wa miaka 52 alizaliwa katika eneo la Kent na wapelelezi wanaamini kwamba alikuwa akiishi Midlands magharibi. Masood hakuhusishwa katika uchunguzi wowote na hakuna ripoti yoyote ya upelelezi kuhusu mipango yake ya kutaka kutekeleza shambulio, kulingana na polisi.

ZITO KABWE AMMWAGIA SIFA NAPE NAUYE

Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo nchini Tanzania Zitto Kabwe amesema waziri wa habari aliyefutwa kazi Bw Nape Nnauye "ni shujaa". Taarifa kutoka ikulu mapema leo ilitangaza waziri mpya wa habari, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kuwa Dkt. Harrison George Mwakyembe. Taarifa hiyo haikusema chochote kuhusu hatima ya Bw Nnauye. Bw Nnauye kwenye Twitter amewaomba watu kuwa na subira na kuahidi kwamba atazungumza na wanahabari baadaye leo. "Ndugu zangu naomba TUTULIE! LEO mchana nitakutana na Wanahabari na tutalizungumza hili. Nitawaambia saa na mahali, kwasasa naomba TUTULIE!" ameandika. Baadaye taarifa zilianza kuibuka kwamba Bw Nnauye alikuwa amekamatwa, lakini mwanasiasa huyo aliandika kwenye Twitter kwamba bado hajakamatwa na yupo salama.

MSWADA WA SHERIA YA AFYA YA MAREKANI WACHELEWA KUPGIWA KURA

kupiga kura juu ya sheria mpya ya huduma za afya ya Rais Donald Trump katika Baraza la Wawakilishi imechelewa. kuahirishwa ni kurudi nyuma kwa rais ambaye alisisitiza angeweza kushinda idadi kulipitisha kwenye chumba chini ya Congress juu ya Alhamisi. American Sheria za Afya ni nia ya kuchukua nafasi ya sehemu ya sheria Rais Barack Obama saini za afya. Kufuta na kuondoa kinachojulikana Obamacare na ubao mkubwa wa kampeni za uchaguzi Mr Trump. Wengi Kiongozi Kevin McCarthy alisema kuwa Republican bado kuwa mkutano Alhamisi jioni lakini kwamba mpango sasa ilikuwa kwa ajili ya Nyumba ya kura siku ya Ijumaa, baada ya mjadala. rasmi Ikulu alisema kuwa "kura itakuwa asubuhi ili kuepuka kupiga kura katika 3:00 ... Tunahisi hii lazima kufanyika katika mwanga wa mchana, si katika masaa ya usiku na tuna uhakika muswada huo utapita Asubuhi". House Minority Kiongozi Nancy Pelosi alisema Bw Trump alifanya "hitilafu rookie kwa kuleta hii ,

DOWNLOAD NAMBIE YA HARMONIZE

DOWNLOAD NYIMBO MPYA HAPA

TIMU YA EVERTON INAYOSHILIKI LIGI KUU YA UIGEREZA KUJA NCHINI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Augustine Mahiga amekutana na wawakilishi wa timu ya Everton inayoshiriki ligi kuu ya Uingereza,\  kumpa taarifa Waziri huyo kuhusu uwezekano wa kuileta timu hiyo kwa ajili ya kucheza mechi ya kirafiki hapa nchini. Aidha Waziri Mahiga alisema ziara hiyo itasaidia kuitangaza Tanzania duniani pamoja na kuhamasisha mchezo wa mpira wa miguu kwa vijana wa Kitanzania. Hizi ni baadhi ya picha walizopiga kwa za pamoja:

BARNABA AWEKA WAZI MAHUSIANO YAKE

Barnaba amefunguka kuhusiana na mahusiano yake na mama Steve kwa sasa. Wiki chache zilizopita muimbaji huyo alidaiwa kuachana na mzazi mwenzake huyo ambaye wamefanikiwa kupata mtoto mmoja. Akiongea kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM, hitmaker huyo wa Lover Boy amesema, “Kwa sasa siko kwenye maelewano mazuri na mama watoto wangu. Sio kwamba tumeachana au tumetengana sitaki kusema hivyo.” “Siwezi kusema simpendi mwanamke niliyepata nae mtoto [mama Steve],yule ameshakua kama ndugu yangu.Namrespect sana mama Steve ila kila mtu anaendelea na maisha yake na hatutaki kutengeneza picha mbaya kwa mwanetu,” ameongeza. Wakati huo huo Barnaba amesisitiza kuwa wimbo wake mpya wa ‘Lonely’ ambao ameuachia leo haujamgusa mtu yoyote na wala hausiani na maisha yake.

MCHEZAJI WA ZAMANI WA LIVERPOOL AFARIKI

Mchezaji wa zamani wa klabu ya Liverpool na nahodha ambaye pia aliwahi kuwa kocha  Ronnie Moran amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 83, Moran alichezea klabu hiyo mechi 379 kati ya mwaka 1952 na 1966. Alikuwa mfanyakazi aliyehudumia klabu hiyo kwa muda mrefu zaidi alipostaafu 1999. Alijiunga na benchi la wakufunzi Liverpool mwaka 1966 na mara mbili alihudumu kama meneja wa muda – baada ya Kenny Dalglish kujiuzulu 1991 na Graeme Souness alipofanyiwa upasuaji wa moyo 1992. Moran akiongoza Liverpool fainali ya Kombe la FA 1992 walipowashinda Sunderland Wembley Mwanawe wa kiume amethibitisha kwamba alifariki mapema Jumatatu baada ya kuugua kwa muda mfupi. Alihudumu chini ya mameneja tisa tofauti alipokuwa benchi la kiufundi. Ronnie Moran (kulia) na Gerry Byrne wakisherehekea kushinda kikombe cha ubingwa wa ligi dhidi ya Arsenal 1964 Aliwaongoza Liverpool fainali ya Kombe la FA wanjani Wembley mwaka 1992 akiwa meneja wa muda meneja wao Souness alipokuwa anapata nafuu baada ya kufanyiwa u

MOURINHO; NACHAGUA KOMBE LA EUROPA KULIKO NAFASI YA NNE EPL

kocha wa manchester united asiyeishiwa maneno mourinho amesema ameamua katika kusaka ubingwa wa europa champion league kocha huyo ameyasema hayo baada ya jana kuibuka na ushindi wa magori 3-0 yaliyofungwa na fellain, lingad na valencia, kutokana na ushindi huo wa jana man u wamefanikiwa kung'oka mtaa wa 6 kama mashabiki anavyosema kutokana na kukaa katika nafasi hiyo zaidi ya siku 100

MAGUFURI AZIDI KUMPA NGUVU RC MAKONDA

Raisi dr john magufuri leo tarehe 20 ameweka jiwe la msingi kwa ajili ya ujenzi wa barabara za katika eneo la ubungo, dar salaam. katika mazungumzo yake raisi ameweza kuongelea inshu iliyotrend kwa muda mrefu kuhusu hatima ya mkuu wa mkoa wa dar es salaam, raisi magufuri amesema                '' Watanzania ninafahamu mna uhuru wa kuzungumza, nawaomba tujielekeze kwenye vitu vya maendeleo, tunajielekeza zaidi kwenye udaku,                '' Tujielekeze katika mambo ya maendeleo, tutajenga nchi yetu, hayo ndio mawazo yangu''                          ''  Nawaomba watanzania kampeni zimeshakwisha ulie lakini Rais ni Magufuli, mimi kwangu ni hapa kazi tu, maendeleo''                            ' ' Mimi huwa sionyeshwi njia, tayari nimeshaonyeshwa na chama changu''          HAYO NI MANENO YA RAISI DR MAGUFURI, NINI MAONI YAKO                                              TUPE MAONI YAKO 

jamaa muoga sana huyu

jamaa

COLONIALISM

Colonial economy (2) from Dody Rangai

MWAMUZI AONDOLEWA KUCHEZESHA LIGI KUU VPL

Kamati ya Bodi ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi za Tanzania (Kamati ya Saa 72), imemwondoa Mwamuzi wa kati, Ahmada Simba katika orodha ya waamuzi  watakaochezesha mechi za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu huu wa 2016/2017. Hatua hii imefikiwa baada ya utetezi wa Mwamuzi Simba  kudai kwamba hakuona tukio la Mchezaji wa Young African, Obrey Chirwa ambaye alifunga bao ambalo hata hivyo, mwamuzi alilikataa na kumwonya mchezaji kwa kadi njano. Tukio hilo lilitokea katika mchezo ambao Young Africans walikuwa wageni wa Ruvu Shooting kwenye Uwanja wa Taifa, Machi mosi, mwaka huu. Katika hiyo ya njano ilikuwa ni ya kwanza kwa Chirwa ambayo hata hivyo kamati ya Saa 72 imeifuta kadi hiyo kwa mujibu wa kanuni ya 9 (8) baada ya Kamati ya Saa 72 haikupaswa kutolewa kwa Chirwa kwa sababu hakukuwa na kosa wala mazingira ya kuonywa. Kadi hiyo ilikuwa ni msingi wa kadi nyekundu baada ya Chirwa kufanya faulo ambayo aliadhibiwa tena kwa kadi ya njano hivyo kutolewa nje kwa mujibu wa taratibu. Kuf

FIFA YATOA VIWANGO VIPYA VYA SOKA

Shirikisho la Soka Duniani-FIFA kila mwezi kwa sasa limekuwa likitoa viwango vipya vya ubora duniani ambavyo vinaonyesha baadhi ya mataifa kupanda katika nafasi . Kwa upande wa orodha ya jumla, Argentina bado wameendelea kuwa vinara wakifuatiwa na Brazil katika nafasi ya pili huku mabingwa wa dunia Ujerumani wakiwa nafasi ya tatu. Kwa upande wa Afrika ; Uganda bado wanaendelea kuongoza kwa Afrika Mashiriki wakiwa nafasi ya 16 kwa Afrika na 74 duniani wakifuatiwa na Kenya waliopo nafasi ya 21 Afrika na 88 duniani wakati Rwanda wako nafasi ya 24 Afrika na 93 duniani na Burundi nafasi ya 41 Afrika na 139 duniani. Misri wao wameendelea kuwa vinara kwa kukwea kwa nafasi mbili zaidi hadi nafasi ya 20, wakifuatiwa na Senegal walioko nafasi ya 28 huku mabingwa wa michuano ya Mataifa ya Afrika Cameroon nao wakikwea kwa nafasi moja mpaka nafasi ya 32 duniani. Mabingwa wa Amerika Kusini Chile wapo nafasi ya nne na Ubelgiji ndio wanakamilisha tano bora kwenye orodha hizo. Tanzania imepanda kwa naf

RAISI MAGUFURI AIPA SHAVU NYIMBO YA DARASA

Nadhani Darassa sasa ana kila sababu ya kuachia ngoma mpya baada ya wimbo wake, Muziki kupata endorsement toka kwa kila mtu, hadi kutoka kwa Rais Dkt John Pombe Magufuli. Dkt Magufuli ambaye yupo ziarani kwenye mikoa ya Kusini, alijikuta akiinukuu mistari kadhaa ya wimbo maarufu wakati akizungumza na wananchi. “Kwamba unaenda bila break, what do you expect,” alisema Rais Magufuli na kuchochea shangwe la haja toka kwa wananchi wanaojua wimbo huo kabla ya kuongeza, “Mkishaimbiwa changanya kama karanga ndio mnachanganyikiwa kabisa.” Darassa hajachukulia poa shavu hilo. Ameandika kwenye Instagram: THANK YOU PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA.” Kazi kwako Darassa!

PAKUA NYIMBO HAPA

BRAND NEW ON MKITO Shilole Hatutoi Kiki Download Chin Bees Pepeta (Prod. Thomas Crager) Download THT Malkia wa nguvu Download Instincts Records Falling In Love - Shose x Abba Download JanFero HipHop Ni Kazi Download The Industry Up In The Air (Clean) - Rosa Ree Download Chaca Na Nduguzee Hawana Kesi! Download Moh rhymes Nerea (Remix) Download Reezy Styles Kwani Vipi Download NOVER Itakuaje Downlo

past paper

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL CERTIFICATE OF SECONDARY EDUCATION EXAMINATION 032/1       CHEMISTRY 1 (For Both School and Private Candidates) TIME: 3 Hours ​       Thursday, 05​ th​  October 2015 p.m. _____________________________________________________________________________________ Instructions 1. This paper consists of sections A, B and C. 2. Answer all​ questions in this paper. 3. Calculators and cellular phones are not​ allowed in the examination room. 4. Write your Examination Number​ on every page of your answer booklet(s). 5. The following constants may be used: Atomic masses: H = 1,   Li = 7,    C = 12,    O = 16,    Na = 23,    Al = 26,    Cl = 35.5,    K = 39,    Cu = 63.5 Avogadro’s number = 6.02 x 1023 . GMV at s.t.p. = 22.4 dm3 . 1 faraday = 96,500 coulombs. Standard pressure = 760 mm Hg. Standard temperature = 273 K. 1 litre = 1 dm3  = 1000 cm 3 . This paper consists of 6 printed pages. Find this and other free resources at: http://makta

Njia rahisi ya kutumia akaunti mbili za facebook kwenye simu moja

Zaidi ya watu bilioni wantumia facebook, Facebook ni mtandao wa kijamii ambao unakuwa kwa kasi zaidi. Kwenye vifaa vya Androif tunaweza kutumia Facebook moja katika Facebook official App na ili tuweze kutumia akaunti mbili tunatakiwa ku-logout katika akaunti kisha ndo u-log in katika akaunti nyingine. Lakini pia kwa kutumia njia hii inachukua mda mrefu hivyo Bongo Techno tumeamua kushare Njia rahisi ya kutumia akaunti mbili za facebook katika simu moja. Jinsi ya kutumia Facebook mbili katika simu moja Ili uweze kutumia Facebook Mbili unatakiwa utumie App ambayo itakufanya utumie akaunti mbili katika simu yako kwa kuchagua tu akaunti unayotaka 1. Kwanza kabisa unatakiwa U-install App ya  FreindCaster 2. Baada ya ku-install, Fungua App hiyo kisha utaona kama hivi : 3. Login katika akaunti yako 4. Baada ya kuingia katika akaunti yako, Sasa Bofya kwenye SETTING 5 . Kisha Chagua "ACCOUNTS" 6. Baada ya hapo utaona akaunti yako ya mwanzo, kisha utabofya kwenye "ADD ANOTHER ACCO