
Zaidi ya watu bilioni wantumia facebook, Facebook ni mtandao wa kijamii ambao unakuwa kwa kasi zaidi. Kwenye vifaa vya Androif tunaweza
kutumia Facebook moja katika Facebook official App na ili tuweze kutumia akaunti mbili tunatakiwa ku-logout katika akaunti kisha ndo u-log in katika akaunti nyingine.
Lakini pia kwa kutumia njia hii inachukua mda mrefu hivyo Bongo Techno tumeamua kushare Njia rahisi ya kutumia akaunti mbili za facebook katika simu moja.
Jinsi ya kutumia Facebook mbili katika simu moja
Ili uweze kutumia Facebook Mbili unatakiwa utumie App ambayo itakufanya utumie akaunti mbili katika simu yako kwa kuchagua tu akaunti unayotaka1. Kwanza kabisa unatakiwa U-install App ya FreindCaster







Post a Comment