Skip to main content

DHAMANI YA KIATU ANACHOVAA SAMATA

TUMEKUWA tukiona kwa wenzetu barani Ulaya kwa wachezaji wenyewe majina makubwa kama Cristiano Ronaldo, Lionel Messi wakivaa viatu vya mpira venye thamani ya juu zaidi duniani, tukiangalia kwa hapa Tanzania tunae mshambuliaji wa kimataifa Mbwana Ally Samatta ambae ana vaa kiatu chenye gharama ya dola 800 za Marekani zaidi ya Tsh. 1,760,000 (milioni moja laki saba na elfu sitini).
Mshambuliaji huyo anasakata kambumbu katika klabu ya KRC Genk ya Ubegiji amekuwa na msimu mzuri katika ligi kuu ya nchi hiyo huku akiisaidia timu yake kufuzu katika hatua ya robo fainali ya michuano ya Europa League.
Shaffihdauda.co.tz. ilipiga stori na Mbwana Samatta ambae kwa sasa yupo nchi Tanzania katika kuitumikia timu ya Taifa (Taifa Stars) katika mechi mbili za kimataifa zinazowakabili alisema, unapokuwa mchezaji mkubwa na unatazamwa na kila mtu ni lazima uwe wa tofauti katika maisha ili uwe mfano wa kuigwa kwa hawa chipukizi wanaochipukia kwasasa.
“Siyo vibaya mimi kuvaa viatu vya gharama vya kuchezea mpira kwasababu ninaipenda kazi yangu na ndiyo maana siangali nimenunua kwa bei gani,” alisema Mbwana huku akicheka.
Aidha mchezaji huyo wa zamani wa Simba alisema wachezaji wa kitanzania wana vipaji vya hali ya juu ambavyo havipatikani kwa urahisi sehemu nyingine, lakini mababu zetu hawakuweka njia nzuri katika kuvitangaza vipaji hivyo ambavyo tunavyo kwenye hii nchi yetu.

Comments

Popular posts from this blog

DOWNLOAD; nyimbo mpya ya alikiba #JOHOTENA

Jinsi ya ku-track simu yako na kujua mahali ilipo

Upotevu wa simu yako ni moja ya jambo baya watu wanalipata.Unaweza kuibiwa simu yako iliyokuwa imehifadhi data nyingi binafsi. Kwa msaada jinsi ya kupata simu yako iliyopotea, Google na Apple kwa pamoja wana njia za kufuatilia hili kutafuta mfumo wa simu yako. Jinsi ya kutafuta iPhone iliyopotea Ufumbuzi wake upo kwenye Find My iPhone.Huduma hii ina uwezo wa kukuonyesha kifaa chako chochote cha iOS Kupata uwezo juu ya iPhone yako,fuata hatua hizi; 1.Nenda kwenye setting/mpangilio wa iPhone yako 2.Shuka chini utakuta iCloud 3.Katika chini ya orodha bonyeza "Find My iPhone" 4.Kwenye Find My Phone switch on position 5.Ukiwa hapo ni wazo zuri ku-turn on send last  location Baada ya kuwezesha Find My iPhone,unaweza kuifuatilia vizuri simu yako iliyopotea na kuibiwa Jinsi ya kupata Android phone Kwa android ni tofauti kidogo na Apple.Google wameweka app yao kwenye Play store  na unaweza ku-download 1.Search Play Store "Android Device Manager" 2.Inst

Tumia simu yako kama mounse ya komputa

New Trick Habari za wakati huu msomaji wa Blog yako pendwa ya  DODY BLOG ! Katika mfululizo wa makala za wiki hii, leo tutaangalia jinsi ya  KUTUMIA   simu yako hio ya  SmartPhone kama  Mouse  ya kompyuta. FAIDA >>>Hii inaweza kukusaidia pale ambapo hauna Mouse kwa ajili ya compyuta yako, au  TouchPad  ya Laptop yako haifanyi kazi! Yani  inasumbua! MAHITAJI >> Utahitajika kuinstall program na App ntakazokupa hapa chini! Unaweza kutumia Apps mbalimbali na step ni hizihizi.  Host file utaiinstall kwenye kompyuta yako na App utaiweka kwenye simu yako, halafu utaunga compyuta yako kwenye wireless ya simu yako au bluetooth!  (Lengo la kuunga ni kuweka mawasiliano kati ya simu na kompyuta). kwa hio unaweza kutumia  Bluetooth au Wireless!  Zote ni sawa ila hapa nitaelezea Wireless. HATUA KWA HATUA 1.   Download na install  Monect  kwenye simu yako  HAPA! Install Monect Portable 2. Kwenye PC yako download na install  Monect Host  kwa kuclik  HAPA