Skip to main content

Posts

PATA NAMBA YAKO YA NIDA ONLINE NIRAHISI SANA

  Download Your NIDA Number and Copy Online  Download Your National ID (NIDA), Nida Number,Namba ya NIDA,Download Your NIDA number | Copy Online, National ID (NIDA) – Kitambulisho cha Taifa,NIDA number online,NIDA Tanzania Download, NIDA form,NIDA Tanzania 2022/2023 Download Your NIDA number | Copy Online | National ID (NIDA) – Kitambulisho cha Taifa Many Tanzanians have been struggling to find NIDA numbers, NIDA numbers have been a challenge almost every time a Tanzanian citizen needs government or even government services Initially the initial procedure was a bit difficult for people to get NIDA number easily but now the Government of Tanzania has made things easier as you can get your NIDA number online, Read all the procedures on how to Get your NIDA number belo w Download Your National ID (NIDA)  2022 Download NIDA Number Kitambulisho ,  Many people have been wondering how to get NIDA numbers, Tanzania National Identity Card, Here is a very simple way that you can get National Ide

tumia rain ya mtandao wowote kwenye mordem yako bila ku un lock

Habari yako msomaji wangu tuendelee kuhabarishana na kujuzana kuhusu haya mautundu na maujanja huku kwenye ulimwengu wa technology leo tuseme ku un-lock modem zetu leo ni mwisho kabisaaa sababu tunayo njia itakayotufanya tutumie line ya voda kwenye modem ya tigo au line yeyote kwenye modem yeyote bila hata kuifanyia un-lock fuata maelekezo haya utapata faida ya somo langu hili hatua za kufuata unachotakiwa ni kuwa na modem yeyote na line ya mtandao wowote unaotumika kwenye nchi uliyopo Download (pakua) nokia suite kwenye PC yako download hapa >>> http://nokia_pc_suite.en.downloadastro.com/download/ weka modem yako kwenye mashine yako funga software ya modem yako fungua program yako ya nokia pc kisha bofya sehemu iliyo andikwa "creat internet connection" itakuletea ujumbe huu "no device connected" bonyeza "sparner like icon" itakuonyesha modem yako bofya tena kwenye icon ili uweze kuset (kupanga) A

ijue libre office program mbadara ya microsoft office

Tumeshaandika kuhusiana na huduma za Microsoft Office, hasa kama unataka kutumia huduma hiyo bure kwa kutumia mtandao, kama ulipitwa soma  hapa.  Sasa kama unataka kutumia huduma za kuandika document au kuandaa kazinge kama hizo kwa njia zingine mbadala utafanyaje? Kaa ukijua huduma hizi mbadala zinasapoti huduma/mafaili yote ya  Microsoft Office, spreadsheet, na presentation kwa aslimia 100. Kwa kifupi ni kwamba utakua kama unatumia tuu huduma za microsoft office. Muonekano wa programu ya Office kwa njia ya mtandao Leo TeknoKona inakupa maujanja juu ya jinsi ya kutumia huduma hizo. LibreOffice ni ya bure kabisa, ina huduma zote zinazopatikana katika Microsoft office. Uzuri wake ni kwamba inaweza kutumiwa katika kompyuta ya aina yeyote kama vile Mac, Windows na Linux. Libre Office inakuja na mjumuhisho wa programu nyingine mbalimbali muhimu kama unazokutana nazo kwenye Microsoft Office Soma Zaidi Kuhusu Libre Office hapa –  Teknokona/libreoffice Apple iWork  nayo ni ya

mpya kutoka kwa marioo aya

                                                        Listen to Marioo - AYA by Dody tz on hearthis.at

DOWNLOAD NYIMBO MPYA GUBU ALIKIBA FT KILLY KING MUSIC

MOROGORO: AKAMATWA AKIWA UCHI NA MTOTO MTONI

Mtu mmoja (Jina halijafahamika) anashikiliwa na Polisi baada ya kukutwa mtoni na mtoto mwenye umri kati ya miaka 5 na 10, wote wakiwa hawana nguo huku akiwa na panga na msumeno - Tukio hilo limetokea Desemba 19, 2019 katika Maporomoko ya Maji ya Nguzi Camp, na taarifa zinaeleza kuwa wakati mtu huyo akiwa katika Maporomoko hayo, Askari waliokuwa katika shughuli nyingine walimuona na kumtilia shaka - Inadaiwa kuwa, baada ya kuonekana alijitosa kwenye maji ya kina kirefu akiwa na mtoto huyo ambaye alikuwa akipiga kelele na kusema “baba unaniua, baba unaniua” - Aidha, Kamanda wa Polisi Mkoani humo, Wilbroad Mutafungwa amesema atalitolea maelezo ya kina tukio hilo leo Jumamosi Desemba 21 katika mkutano na Waandishi wa Habari

MAREKANI YAPINGA ICC KUICHUNGUZA ISRAEL, ISRAEL YASEMA UCHUNGUZI HUO NI SILAHA YA KISIASA

- Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo amesema nchi yake inapinga vikali uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Uhalifu wa Kivita (ICC) kufungua uchunguzi dhidi ya uhalifu unaotuhumiwa kufanywa na Israel - Pompeo amesema, hatua hiyo iliyotangazwa jana na Mwendesha Mashtaka Mkuu wa ICC inatafuta njia za kuielenga Israel katika namna isiyo ya Haki - Uamuzi huo wa ICC wa Madai ya Uhalifu wa Kivita katika eneo la Palestina umezusha majibu ya hasira kutoka Israel ambapo Wapalestina wameukaribisha uamuzi huo na kusema umechelewa kufuatia uchunguzi wa awali wa karibu miaka 5 tangu kuzuka kwa mapigano katika Ukanda wa Gaza 2014 - Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu ameutaja uamuzi wa Mahakama hiyo ambayo Israeli ilikataa kujiunga nayo tangu ilipooundwa mwaka 2002, kuwa ni "Silaha ya Kisiasa" dhidi ya Taifa hilo la Kiyahudi - Hata hivyo, Netanyahu amesema Mahakama ya ICC haina uwezo wa kuchunguza yanayotokea ndani ya mipaka ya Palestina