Skip to main content

Posts

Tetesi hizi ni mpya kuhusu pogba

 Meneja wa Manchester United Ole Gunnar Solskjaer amesema kwamba Paul Pogba "hatauzwa Januari" na pia amekanusha madai ya kwamba amekutana na mshambuliaji wa Red Bull Salzburg, Erling Haaland jana siku ya Ijumaa. Pogba, kiungo huyo wa kati wa United, amerejea baada ya kupata jeraha lakini pia amekuwa akihisi vizuri na kuna uwezekano mkubwa asicheze katika mechi dhidi ya Watford Jumapili ijayo. Wakati huo huo, kuna taarifa zinazodai kwamba Haaland amesafiri kutoka Stavanger Norway hadi Manchester na babake. Lakini Solskjaer amesema mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 19, ni "zawadi ya Krismasi". "Sidhani kama hatma yake ni hapa, amesema. "Siwezi kuzungumzia wachezaji wa timu nyengine. watu wataanza kuwa na mashaka na wewe." Mchezaji wa kimataifa wa Ufaransa Paul Pogba alikuwa anatarajiwa kurejea katika kambi ya mazoezi wiki iliyopita baada ya kupona jeraha la kifundo cha mguuni ambalo limemfanya kuwa nje tangu Septemba lakini akauguwa na hali yake ik

WhatsApp kuzimwa katika simu hizi mwaka 2020

WhatsApp kuacha kufanya kazi katika mamilioni ya simu kuanzia mwaka 2020. Simu hizi ni matoleo ya nyuma ya simu zinazotumia Android, iOS na Windows Phone. WhatsApp kuacha kufanya kazi: Je simu yako itaendelea kuwa na sifa? Kampuni ya WhatsApp inayomilikiwa na Facebook imetoa taarifa ikisema inasikitika na uamuzi huu ila ni uamuzi wa kilazima kufanyika ili kuhakikisha wanaendelea kuwa na uwezo wa kuhakikisha watumiaji wake wanakuwa salama dhidi ya udukuzi ambao unaweza kufanywa kwenye matoleo ya nyuma ya programu endeshaji za simu. Kwa watumiaji wa simu zenye sifa zifuatazo wajiandae kuona app ya WhatsApp ikisumbua kufanya kazi ifikapo Februari 1 2020, kama simu zao zinauwezo wa kupokea matoleo mapya ya programu endeshaji basi wanashauriwa kufanya hivyo. Simu za iPhone 5 na 5S kutoka Apple zinaonekana kuwa ni baadhi maarufu ambazo zitaathirika kwa uamuzi huu. Bado zinatumika hasa kwa mataifa yanayoendelea. Tovuti ya DeviceAtlas ilisema kufikia mwaka huu simu za iPhone 5 n

Simu Janja Mpya Kutoka Infinix: Jua Sifa Za Infinix S5!

Hivi unalikumbuka tolea la S4 kutoka simu za Infinix?  Naam! Ni moja kati ya yale matoleo yanayotoka katika  ‘S Series’ . Hivi Sasa kampuni ya Infinix inakuletea toleo lingine linalojulikana kama Infinix S5. Simu hii imekuja sambamba na msimu wa sikukuu hivyo tegemea promoseni ambayo ina zawadi kedekede kutoka kwao Infinix Ijulikane kwamba kwa sasa Infinix S5 ndio kinara wa matoleo ya ‘S Series’ kutoka Infinix, simu janja hii ina vipengele vya kuvutia kama vile ‘ Infinity-O Display’  na  Megapixel (MP) 32  katika kamera yake ya selfi . “Infinix ikiwa ni kampuni yenye ushawishi mkubwa katika mfumo wa kidigitali tunawahakikishia wateja wetu bidhaa zenye teknolojia ya hali ya juu kwa bei Rafiki”- alisema afisa mahusiano Infinix, Aisha Kurupa Timu Ya Infinix Ikiwa Kazini SIFA ZAKE KWA UFUPI Kamera ya selfi ambayo ina MP 32 Kamera nne za nyuma ambazo ni 16MP+5MP+2MP+AI Lens vile vile zikiwa na teknolojia ya Artificial Inteligency (AI) Memori ya uhifadhi wa ndani ni Gb 64 na

Google wameanza kusambaza teknolojia mpya ya SMS

Google wameanza kusambaza teknolojia mpya ya SMS yenye lengo la kuwa ndio teknolojia ya kuacha na ile iliyozoeleka kwa miaka mingi katika huduma ya ujumbe mfupi (sms). Katika kipindi cha zaidi ya mwaka na nusu kampuni ya Google imekuwa ikifanya mazungumzo na makampuni ya mitandao ya simu nchini Marekani juu ya uamuzi wake wa kutaka teknolojia mpya ya RCS iwe ndio teknolojia inayotumika kwa huduma za SMS. Ila imeonakana mitandao ya simu imekuwa kikwazo katika suala la kufanya maamuzi. Teknolojia ya SMS ya RCS ipoje? Teknolojia hii inawezesha app ya kawaida katika simu za Android kuweza kuwa na uwezo wa; Taarifa za ujumbe kuwa umesomwa au hapana Uwezo wa kujua kama mwingine anaandika muda huo Uwezo wa kuwa na makundi kwa urahisi (Groups) Google walikuwa na lengo la kuifanya teknolojia hii mpya ya SMS iwe ndio inayotumika kwa muda mrefu tuu. Katika mpango wao wa mwanzo walilenga kuhusisha mitandao ya simu katika utengekelezaji h Ila kutokana na hali ya kutopata ushirik

RUDI KWA MAMA

Wino huu uliomwagika umeandikwa Na yatima asiye Na baba wala mama! Mwenye machungu ya kumbukumbu kila atazamapo picha za wazazi wake! Mwenye tamaa yakuzungumza Na mama kumwambia anampenda! Nakushauriana na baba jinsi dunia inavyokwenda. Leo wino wangu umebeba dhamira yakukumbusha urudi kwa Mama. Usiseme hakuna sababu yamsingi yakwenda kumsalimia mama! Ukifanyacho kinakupa riziki, mafanikio na utajiri lakini vitu hivyo ni vichungu siku utakapokuwa huwaoni wazazi wako. Siku watakapokuwa mbali Na upeo wa macho yako! Siku nawewe utakapokuwa yatima. Rudi kwamama! Nenda kamwambie unampenda sana! Kaseme nae yote yakwako naumsikilize yote yakwake. Hakikisha anafarijika kwa uwepo wako! Usitoe hata dakika akahisi upweke! Akahisi umemtenga nakuzipa thamani kazi zako au watu wako wengine ulionao. Kumbuka wao wanakuona wamuhimu, mwenye nguvu Na wathamani! Kwasababu ya juhudi za wazazi wako. Walikesha nawewe ulipokuwa unawasumbua ukilia usiku kucha enzi za uchanga wako. Walihakikisha unanyamaza ha

HOW TO DRAW ELLIPSE

Question 6 - Ellipses & Parabolas Main Parts of an  Ellipse Major Axis (the long one) Minor Axis (the short one) Focal Points Vertex Key Concepts The distance from a focal point to the end of the minor axis is equal to 1/2 the major axis The distance from a focal point to any point on the curve of an ellipse and back to the other focal point is equal in length to the major axis How to Draw an Ellipse - Circle Method 1 - Draw a circle with a diameter equal to the  major axis  and a circle with a diameter equal to the  minor axis  using the same centre 2 - Divide the circles into 12 slices using your 30 deg set square 3 - Draw a vertical line down from each point where the lines meet the outer circle and draw a horizontal line across where the lines meet the smaller circle. Mark out the points where the horizontal and vertical lines meet. 4 - Use these points to freehand sketch the ellipse

yajue mambo 5 ya mafanikio kwako

Kila binadamu ameumbwa na kiu ya kufanikiwa katika kila kitu anachofanya. Mafanikio ndio kilele cha mlima mkubwa wa maisha ambao umejengwa kwa misingi na ngazi za mihangaiko na mitihani ambayo unapaswa kuivuka ili upumzike kwenye kilele hicho. Kwa bahati mbaya, unaposema ‘mafanikio’ wengi hufikiria kuhusu ‘utajiri’. Lakini ukweli ni kuwa kuna tofauti kati ya kuwa tajiri na kufanikiwa kiuchumi. Unaweza kuwa tajiri lakini ukawa bado hujafanikiwa. Kwa kuwa watu wanawaza utajiri kuwa ndio kigezo cha mafanikio hujikuta wakijiingiza kwenye vitendo vya ajabu kwa lengo la kujizolea mali lakini mwisho huwa wanagundua kuwa hawajafanikiwa japo jamii inahisi wamefanikiwa. Njia rahisi za Kumgeuza Rafiki kuwa ‘Mpenzi Wako’ wa Dhati Nanachoamini mimi, kufanikiwa kweli ni kutimiza malengo yako kwa ufanisi na kwa wakati, lakini mafanikio hayo yakupe amani moyoni mwako (peace of mind). Vinginevyo, utafanikiwa kwa mrundikano wa fedha huku ukitengeneza tatizo kubwa zaidi la msongo wa mawazo na u