Skip to main content

Tetesi hizi ni mpya kuhusu pogba

Image result for pogba and solskjaer

 Meneja wa Manchester United Ole Gunnar Solskjaer amesema kwamba Paul Pogba "hatauzwa Januari" na pia amekanusha madai ya kwamba amekutana na mshambuliaji wa Red Bull Salzburg, Erling Haaland jana siku ya Ijumaa.

Pogba, kiungo huyo wa kati wa United, amerejea baada ya kupata jeraha lakini pia amekuwa akihisi vizuri na kuna uwezekano mkubwa asicheze katika mechi dhidi ya Watford Jumapili ijayo.

Wakati huo huo, kuna taarifa zinazodai kwamba Haaland amesafiri kutoka Stavanger Norway hadi Manchester na babake.

Lakini Solskjaer amesema mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 19, ni "zawadi ya Krismasi". "Sidhani kama hatma yake ni hapa, amesema. "Siwezi kuzungumzia wachezaji wa timu nyengine. watu wataanza kuwa na mashaka na wewe." Mchezaji wa kimataifa wa Ufaransa Paul Pogba alikuwa anatarajiwa kurejea katika kambi ya mazoezi wiki iliyopita baada ya kupona jeraha la kifundo cha mguuni ambalo limemfanya kuwa nje tangu Septemba lakini akauguwa na hali yake ikawa inaendelea kuwa mbaya Jumapili iliyopita.

Hata hivyo, Solskjaer amesema mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 anakaribia kurejea na hataondoka Old Trafford mwezi ujao. "Hatauzwa Januari,"amesema maneja wa United. "Ni matumaini yangu kwamba ataingia uwanjani kabla ya mwisho wa mwaka huu, lakini sitamlazimisha. Siwezi kujiweka katika hatari ya kupata changamoto au wachezaji wangu kupata jeraha."

Popular posts from this blog

DOWNLOAD; nyimbo mpya ya alikiba #JOHOTENA

Jinsi ya ku-track simu yako na kujua mahali ilipo

Upotevu wa simu yako ni moja ya jambo baya watu wanalipata.Unaweza kuibiwa simu yako iliyokuwa imehifadhi data nyingi binafsi. Kwa msaada jinsi ya kupata simu yako iliyopotea, Google na Apple kwa pamoja wana njia za kufuatilia hili kutafuta mfumo wa simu yako. Jinsi ya kutafuta iPhone iliyopotea Ufumbuzi wake upo kwenye Find My iPhone.Huduma hii ina uwezo wa kukuonyesha kifaa chako chochote cha iOS Kupata uwezo juu ya iPhone yako,fuata hatua hizi; 1.Nenda kwenye setting/mpangilio wa iPhone yako 2.Shuka chini utakuta iCloud 3.Katika chini ya orodha bonyeza "Find My iPhone" 4.Kwenye Find My Phone switch on position 5.Ukiwa hapo ni wazo zuri ku-turn on send last  location Baada ya kuwezesha Find My iPhone,unaweza kuifuatilia vizuri simu yako iliyopotea na kuibiwa Jinsi ya kupata Android phone Kwa android ni tofauti kidogo na Apple.Google wameweka app yao kwenye Play store  na unaweza ku-download 1.Search Play Store "Android Device Manager" 2.Inst

Tumia simu yako kama mounse ya komputa

New Trick Habari za wakati huu msomaji wa Blog yako pendwa ya  DODY BLOG ! Katika mfululizo wa makala za wiki hii, leo tutaangalia jinsi ya  KUTUMIA   simu yako hio ya  SmartPhone kama  Mouse  ya kompyuta. FAIDA >>>Hii inaweza kukusaidia pale ambapo hauna Mouse kwa ajili ya compyuta yako, au  TouchPad  ya Laptop yako haifanyi kazi! Yani  inasumbua! MAHITAJI >> Utahitajika kuinstall program na App ntakazokupa hapa chini! Unaweza kutumia Apps mbalimbali na step ni hizihizi.  Host file utaiinstall kwenye kompyuta yako na App utaiweka kwenye simu yako, halafu utaunga compyuta yako kwenye wireless ya simu yako au bluetooth!  (Lengo la kuunga ni kuweka mawasiliano kati ya simu na kompyuta). kwa hio unaweza kutumia  Bluetooth au Wireless!  Zote ni sawa ila hapa nitaelezea Wireless. HATUA KWA HATUA 1.   Download na install  Monect  kwenye simu yako  HAPA! Install Monect Portable 2. Kwenye PC yako download na install  Monect Host  kwa kuclik  HAPA