Skip to main content

Posts

What Is Electricity? - Definition & Concept

What makes the lights in your room turn on? Why does the flashlight come on when you press that switch button? They happen because there is energy flow in the form of electrical energy. Electrical energy exists and can be experienced in many ways and amounts. For example, you may feel a little shock when you touch a metal part of your TV, or feel a shock when you touch clothing from the laundry. Electricity can also be in lightning bolts. To understand this very powerful thing, let us first learn where and how it all comes together. What is electricity? Electricity exists in the smallest particle in nature called the atom. The atom is the basic building block of matter. An atom is so small that human eyes cannot see it. We only see them with the help of very powerful magnifying devices. Below is an illustration of an atom. In the atom, there are three sub-atomic particles —  Protons, Neutrons and Electrons . Protons and Neutrons are located right in the nucleus (centre or cor

Je, waweza kulipia kila herufi kupiga soga mtandaoni?

Haki miliki ya picha EXPENSIVE CHAT Je, kwa wewe mtumiaji wa simu ya mkononi na mitandao ya kijamii, umeshawahi kuwaza idadi ya herufi unazoandika katika mawasiliano kwa jamaa na marafiki zako au kutoa maoni au mawazo yako mitandaoni kuwa ipo siku huenda usimudu gharama yake?. Marc Kohlbrugge mjasiliamali wa mitandaoni ameanzisha ukurasa wa kupigia soga maarufu kama 'chat room', ambapo gharama yake kwa kuandika herufi moja ni kiasi cha dola 0.01 sawa na shilingi 23 za kitanzania kwa herufi moja. Marc amesema kuwa alianzisha ukurasa huo kama majaribio yake mtandaoni, lakini amesema mwitikio wake umekuwa mkubwa kwani hadi sasa ana watu 100 ambapo hadi sasa wamekwisha mlipa kiasi cha dola 335 sawa na shilingi 785,000 za kitanzania, kwa herufi 33,0500 ambazo wamekwisha zilipia. Suala la kupiga soga lilivyo zoeleka kwa sasa katika nchini za Afrika, Afrika Mashariki ikiwemo, sidhani kama kuna mtu anayeweza kumudu gharama,maana wapo watu ambao,tangu asubuhi hadi jioni kwa ucha

Tetesi za soka Jumamosi 23.03.2019: Sancho, Coutinho, Salah, Dybala, Kroos, Mbappe

Haki miliki ya picha EPA Image caption Manchester United na Paris St-Germain wote wanamuwania Jadon sancho Manchester United na Paris St-Germain wote wameazimia kuweka dau la kitita cha £70m kwa ajili ya mshambuliaji wa England na Borussia Dortmund Jadon Sancho. (Sun) Barcelona wako tayari kumuuza Mbrazili forward Philippe Coutinho ikiwa watapokea ofa ya zaidi ya £90m, licha ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26-year atataka kubakia katika La Liga club. (ESPN) Image caption Mchezaji wa kiungo cha kati wa Manchester United Ander Herrera anatumai kukukubali kusaini mkataba mpya na klabu hiyo ingawa Paris St-Germain wanamtaka Juventus wanajiandaa kumtoa Paulo Dybala kwa £44m ili wamchukue mshambuliaji wa Liverpool mwenye umri wa miaka 26 Mohamed Salah msimu ujao. (Tuttosport via Daily Mail) Tottenham wako tayari kumtoa mchezaji wa safu ya kulia nyuma Kieran Trippier na Serge Aurier msimu ujao. Everton wameibua tena nia yao kwa mlinzi wa England Trippier, mwenye umri wa miaka

Roboti iliyopewa uraia nchini Saudi Arabia imesema kuwa ina haki ya kuwa na familia

Roboti iliyopewa uraia nchini Saudi Arabia imesema kuwa ina haki ya kuwa na familia. Roboti hiyo kwa jina la Sophia  ilitengenezwa nchini Hong Kong na kupewa uraia nchini Saudi Arabia mwezi uliopita. Roboti hiyo İimesema kuwa ingependa kuwa na familia wakati ilipohudhuria mkutano wa habari ulioandaliwa nchini UAE. Kwa mujibu wa habari roboti hiyo imesema kuwa familia ni kitu muhimu sana. Robot hiyo imesema kuwa kila mwanadamu ana haki ya kuwa na familia na watu wenye hisia sawa na yeye.Jambo hilo ni muhimu sana hata kwa roboti.Aliwaambia wanadamu wajisikie furaha kuwa na familia.

TRA kumchunguza Askofu Kakobe baada ya kumsikia akisema ana hela kuliko Serikali

 Kufuatia Kauli ya Askofu Kakobe kusema "Nina hela kuliko Serikali" sasa TRA wapanga kumchunguza Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Charles Kichere alipokuwa akiongea na waandishi wa habari leo amesema; Watu wa Kodi (TRA) wanasema wamepokea kauli ya Askofu Kakobe kwa unyenyekevu mkubwa sana kwa kuwa wao wanapenda watu wenye pesa nyingi ili waweze kupata haki yao TRA wanaendelea na kusema; Kama mtu ana hela kuliko serikali, kama ambavyo tunajua serikali yetu inatoa huduma inanunua ndege, imejenga standard gauge, inajenga barabara, inatoa elimu bure, inalipa mishahara kwa watumishi wa umma, inalipia madawa hospitalini, inalipa na kutoa huduma za ulinzi na usalama kwa wananchi. Lakini Serikali hiyo tunaambiwa inazidiwa hela na Askofu Kakobe basi ni jambo jema Hivyo Askofu Kakobe ni tajiri sana kuliko Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania TRA wanasema wanawafahamu matajiri wanalipa kodi, baada ya kauli ya Askofu Kakobe wakaanza kupitia kumbuk

Tetesi za usajili ulaya jumamosi tareh 30/12/2017

  Cristiano Ronaldo Cristiano Ronaldo ameitaka klabu ya Real Madrid kuweka bei yao ya kumuuza isiopungua £89m). Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 32 kutoka Ureno yuko tayari kuondoka Uhispania.(Daily Record) Mshambuliaji wa Chelsea Eden Hazard, 26, hajakaataa kuongeza kandarasi na mabingwa hao watetezi wa Uingereza licha ya madai kutoka kwa babake kwamba anataka kuhamia Real Madrid.(Independent)     Eden Hazard Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger anajiandaa kumnunua winga wa Ivory Coast na Crystal Palace Zaha ili kuchukua mahala pake mshambulijai wa Chile Alexis Sanchez, 29. (Daily Star) Wachezaji kadhaa wa Arsenal walidaiwa kumshutumu mshambuliaji Alexi Sanchez kwa kuwa na tabia

una simu ya Android ?Soma utafiti huu

Simu za kisasa zinazotumia mfumo wa Android zinaweza kufuatiliwa kwa urahisi sana. Uchnguzi umebaini kuwa simu zinazotumia mfumo huo zinaweza kufuatiliwa kwa urahisi mno pasi na kutumia kifaa cha GPS yake.   Aidha simu hizo zinaweza kudukuliwa kwa kutumia matumizi ya betri yake huku utafiti ukisema kuwa simu zinazotumika karibu na kifaa cha kupeperushia masafa ya simu za kuungia mbali. Simu za kisasa ''Smartphone'' hutumia nguvu zaidi inapokuwa mbali zaidi na kifaa hicho cha kupeperushia masafa ya GSM, kwani inachangamoto tele za kungamua masafa. Matumizi ya nguvu zaidi ya shughuli zingine yanaweza kubaiishwa na ''alogarithm'' muundo msingi wa simu yenyewe. Watafiti hao sasa wameunda mfumo ambao unakusanya habari kuhusu matumizi ya betri ya simu. ‘’Mfumo huo hairuhusu kutumia GPS wala huduma zozote kwa mfano mtandao wa Wi-fi ‘’ Jopo hilo linajumuishwa Yan Michalevsky, Dan Boneh na Aaron Schulman kutoka idara ya sayansi ya tarakilishi ka